Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 21:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Ikiwa hamfanyii mambo haya matatu, ndipo atatoka aende bure, pasipo kutolewa mali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Iwapo huyo bwana hatamtimizia haki hizo tatu, basi, mke ataondoka na kuwa huru bila malipo yoyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Iwapo huyo bwana hatamtimizia haki hizo tatu, basi, mke ataondoka na kuwa huru bila malipo yoyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Iwapo huyo bwana hatamtimizia haki hizo tatu, basi, mke ataondoka na kuwa huru bila malipo yoyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Iwapo hatamtosheleza kwa mambo hayo matatu, huyo mke wa kwanza ataondoka na kuwa huru bila malipo yoyote ya fedha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Iwapo hatamtosheleza kwa mambo hayo matatu, huyo mke wa kwanza ataondoka na kuwa huru bila malipo yoyote ya fedha.

Tazama sura Nakili




Kutoka 21:11
2 Marejeleo ya Msalaba  

Akijitwalia mke mwingine, chakula chake huyo, na nguo zake, na ngono yake, hatampunguzia.


Mtu yeyote ampigaye mtu, hata akafa, hana budi atauawa huyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo