Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 2:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Binti Farao akamwambia, Haya! Nenda. Yule kijana akaenda akamwita mama yake yule mtoto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Binti Farao akamwambia, “Naam; nenda.” Basi, huyo msichana akaenda, akamwita mama yake huyo mtoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Binti Farao akamwambia, “Naam; nenda.” Basi, huyo msichana akaenda, akamwita mama yake huyo mtoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Binti Farao akamwambia, “Naam; nenda.” Basi, huyo msichana akaenda, akamwita mama yake huyo mtoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Binti Farao akamjibu, “Ndiyo, nenda.” Yule msichana akaenda akamleta mama wa mtoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Binti Farao akamjibu, “Ndiyo, nenda.” Yule msichana akaenda akamleta mama wa mtoto.

Tazama sura Nakili




Kutoka 2:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hata baba yangu na mama yangu wakiniacha, Bali BWANA atanikaribisha kwake.


Basi dada yake mtoto akamwambia binti Farao, Je! Niende nikamwite mlezi katika wanawake wa Kiebrania, aje kwako, akunyonyeshee mtoto huyu?


Binti Farao akamwambia, Mchukue mtoto huyu, ukaninyonyeshee, nami nitakupa mshahara wako. Yule mwanamke akamtwaa mtoto, akamnyonyesha.


Huyo Amramu akamwoa Yokebedi shangazi yake; naye akamzalia Haruni, na Musa; na miaka ya maisha yake Amramu ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


Basi, nilipopita karibu nawe, nikakutazama; tazama, wakati wako ulikuwa wakati wa upendo; nikatandika upindo wa vazi langu juu yako, nikakufunika uchi wako; naam, nilikuapia, nikafanya agano nawe, asema Bwana MUNGU, ukawa wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo