Kutoka 19:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Watu wote wakaitika pamoja wakisema, Hayo yote aliyoyasema BWANA tutayatenda. Naye Musa akamwambia BWANA maneno ya hao watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Watu wote wakaitikia kwa pamoja wakisema, “Mambo yote aliyoyasema Mwenyezi-Mungu, tutayafanya.” Mose akamjulisha Mwenyezi-Mungu jibu hilo la watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Watu wote wakaitikia kwa pamoja wakisema, “Mambo yote aliyoyasema Mwenyezi-Mungu, tutayafanya.” Mose akamjulisha Mwenyezi-Mungu jibu hilo la watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Watu wote wakaitikia kwa pamoja wakisema, “Mambo yote aliyoyasema Mwenyezi-Mungu, tutayafanya.” Mose akamjulisha Mwenyezi-Mungu jibu hilo la watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Watu wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu Mwenyezi Mungu alichokisema.” Naye Musa akarudisha majibu yao kwa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Watu wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu bwana alichokisema.” Naye Musa akarudisha majibu yao kwa bwana. Tazama sura |