Kutoka 19:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Musa akaenda akawaita wazee wa watu, akawafunulia maneno hayo yote, BWANA aliyokuwa amemwagiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Basi, Mose akarudi, akawakusanya pamoja wazee wa Waisraeli na kuwaambia maneno hayo aliyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Basi, Mose akarudi, akawakusanya pamoja wazee wa Waisraeli na kuwaambia maneno hayo aliyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Basi, Mose akarudi, akawakusanya pamoja wazee wa Waisraeli na kuwaambia maneno hayo aliyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa hiyo Musa akarudi, akawaita wazee wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo Mwenyezi Mungu alikuwa amemwamuru ayaseme. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa hiyo Musa akarudi, akawaita wazee wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo bwana alikuwa amemwamuru ayaseme. Tazama sura |