Kutoka 18:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Basi Musa akatoka nje ili amlaki mkwewe, akasujudia na kumbusu; nao wakaulizana habari; kisha wakaingia hemani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 alitoka kwenda kumlaki baba mkwe wake, akamwinamia na kumbusu. Wakasalimiana, kisha wakaingia hemani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 alitoka kwenda kumlaki baba mkwe wake, akamwinamia na kumbusu. Wakasalimiana, kisha wakaingia hemani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 alitoka kwenda kumlaki baba mkwe wake, akamwinamia na kumbusu. Wakasalimiana, kisha wakaingia hemani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa hiyo Musa akatoka kumlaki baba mkwe wake, akainama na kumbusu. Wakasalimiana, kisha wakaingia kwenye hema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa hiyo Musa akatoka kumlaki baba mkwe wake, akainama na kumbusu. Wakasalimiana, kisha wakaingia hemani. Tazama sura |