Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 18:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Kwa kweli utajidhoofisha mwenyewe, na hawa watu walio pamoja nawe pia; maana jambo hili ni zito mno kwako; huwezi wewe kulitenda peke yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Utajidhuru mwenyewe na hawa watu kwa uchovu, kwani hii ni kazi ngumu usiyoweza kuifanya peke yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Utajidhuru mwenyewe na hawa watu kwa uchovu, kwani hii ni kazi ngumu usiyoweza kuifanya peke yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Utajidhuru mwenyewe na hawa watu kwa uchovu, kwani hii ni kazi ngumu usiyoweza kuifanya peke yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wewe pamoja na watu hawa wanaokujia mtajichosha bure. Kazi ni nzito sana kwako, huwezi kuibeba mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wewe pamoja na watu hawa wanaokujia mtajichosha bure. Kazi ni nzito sana kwako, huwezi kuibeba mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Kutoka 18:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mkwewe Musa akamwambia, Jambo hili ufanyalo si jema.


Nami nitakuwa radhi kutumia na kutumiwa kwa ajili yenu. Je! Kadiri nizidivyo kuwapenda sana, ninapungukiwa kupendwa?


Maana kwa ajili ya kazi ya Kristo alikaribia kufa akahatarisha roho yake ili kusudi aitimize huduma ambayo msingeweza kunitimizia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo