Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 18:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Mkwewe Musa akamwambia, Jambo hili ufanyalo si jema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Baba mkwe wa Musa akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Baba mkwe wa Musa akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.

Tazama sura Nakili




Kutoka 18:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa umrudishe mwanamke kwa mtu huyo, maana yeye ni nabii, naye atakuombea, upate kuishi. Bali usipomrudisha, fahamu ya kwamba kwa hakika utakufa wewe na watu wote ulio nao.


wakiwa na neno, hunijia; nami naamua kati ya mtu na mwenziwe, nami nawajulisha amri za Mungu, na sheria zake.


Kwa kweli utajidhoofisha mwenyewe, na hawa watu walio pamoja nawe pia; maana jambo hili ni zito mno kwako; huwezi wewe kulitenda peke yako.


Marhamu na manukato huufurahisha moyo; Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.


Wale Kumi na Wawili wakawaita jamii ya wanafunzi, wakasema, Haipendezi sisi kuliacha neno la Mungu na kuhudumu mezani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo