Kutoka 17:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Akapaita mahali pale jina lake Masa, na Meriba kwa sababu ya ugomvi wa wana wa Israeli, na kwa sababu walimjaribu BWANA, wakisema, Je! BWANA yu kati yetu au sivyo? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mahali hapo Mose akapaita “Masa” na “Meriba”, kwa sababu Waisraeli walimnungunikia na kumjaribu Mwenyezi-Mungu wakisema, “Je, kweli Mwenyezi-Mungu yu pamoja nasi?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mahali hapo Mose akapaita “Masa” na “Meriba”, kwa sababu Waisraeli walimnungunikia na kumjaribu Mwenyezi-Mungu wakisema, “Je, kweli Mwenyezi-Mungu yu pamoja nasi?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mahali hapo Mose akapaita “Masa” na “Meriba”, kwa sababu Waisraeli walimnung'unikia na kumjaribu Mwenyezi-Mungu wakisema, “Je, kweli Mwenyezi-Mungu yu pamoja nasi?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Naye akapaita mahali pale Masa na Meriba, kwa sababu Waisraeli waligombana na kumjaribu Mwenyezi Mungu wakisema, “Je, Mwenyezi Mungu yu pamoja nasi au la?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Naye akapaita mahali pale Masa, na Meriba kwa sababu Waisraeli waligombana na kumjaribu bwana wakisema, “Je, bwana yu pamoja nasi au la?” Tazama sura |