Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 17:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Musa akajenga madhabahu, akaiita jina lake Yahweh-nisi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mose akajenga madhabahu na kuiita, “Mwenyezi-Mungu ni Bendera Yangu”,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mose akajenga madhabahu na kuiita, “Mwenyezi-Mungu ni Bendera Yangu”,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mose akajenga madhabahu na kuiita, “Mwenyezi-Mungu ni Bendera Yangu”,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Musa akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Musa akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.

Tazama sura Nakili




Kutoka 17:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye akamjengea BWANA madhabahu huko alikomtokea.


Kisha akaondoka huko akaenda mpaka mlima ulio upande wa mashariki wa Betheli, akaipiga hema yake; Betheli ilikuwa upande wa magharibi, na Ai upande wa mashariki, akamjengea BWANA madhabahu huko, akaliitia jina la BWANA.


Abrahamu akapaita mahali hapo Yehova-yire, kama watu wasemavyo hata leo, Katika mlima wa BWANA itapatikana.


Akajenga huko madhabahu, akaiita, El-elohe-Israeli.


Umewapa wakuogopao bendera, Ili itwekwe kwa ajili ya kweli.


Basi Musa akayaandika maneno yote ya BWANA, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya makabila kumi na mawili ya Israeli,


Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita; urefu wake utakuwa ni dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano; hiyo madhabahu itakuwa mraba; na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.


Naye Haruni alipoona jambo hili, akajenga madhabahu mbele yake; Haruni akatangaza akasema, Kesho itakuwa sikukuu kwa BWANA.


Ndipo Gideoni akamjengea BWANA madhabahu hapo, akaiita jina lake, Yehova-Shalomu; hata hivi leo iko huko katika Ofra ya Waabiezeri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo