Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 17:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Yoshua akawaangamiza Amaleki na watu wake kwa ukali wa upanga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Yoshua akawakatakata Waamaleki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Yoshua akawakatakata Waamaleki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Yoshua akawakatakata Waamaleki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa hiyo Yoshua akalishinda jeshi la Waamaleki kwa upanga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa hiyo Yoshua akalishinda jeshi la Waamaleki kwa upanga.

Tazama sura Nakili




Kutoka 17:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mikono ya Musa ililegea; basi wakatwaa jiwe, wakaliweka chini yake akalikalia. Haruni na Huri wakaitengemaza mikono yake, mmoja upande huu na mmoja upande huu; mikono yake ikathibitika hata jua lilipokuchwa.


BWANA akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.


Wataanguka kwa ukali wa upanga, nao watatekwa nyara na kuchukuliwa katika mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hadi majira ya Mataifa yatakapotimia.


Siku hiyo Yoshua akautwaa mji wa Makeda, akaupiga kwa makali ya upanga, na mfalme wake; akawaangamiza kabisa na wote pia waliokuwamo ndani yake, hakumwacha hata mmoja aliyesalia; naye akamfanyia huyo mfalme wa Makeda kama alivyomfanyia huyo mfalme wa Yeriko.


BWANA akautia huo mji wa Lakishi mkononi mwa Israeli, naye akautwaa siku ya pili, akaupiga kwa makali ya upanga, na wote pia waliokuwamo ndani yake, sawasawa na hayo yote aliyoutenda Libna.


wakautwaa, na kuupiga kwa makali ya upanga, na mfalme wake, na miji yake yote, na wote waliokuwamo ndani yake; hakumwacha aliyesalia hata mtu mmoja, sawasawa na hayo yote aliyoufanyia huo mji wa Egloni; lakini akauangamiza kabisa, na wote pia waliokuwamo ndani yake.


Na wafalme hao wote na nchi zao Yoshua akatwaa kwa wakati mmoja, kwa sababu yeye BWANA, Mungu wa Israeli, alipigana kwa ajili ya Israeli,


Tena miji yote ya wafalme hao, na wafalme wake wote, Yoshua akawatwaa, akawapiga kwa makali ya upanga, na kuwaangamiza kabisa; vile vile kama huyo Musa mtumishi wa BWANA alivyomwamuru.


Kwani huyo Yoshua hakuuzuia mkono wake, huo ulionyosha huo mkuki, hadi hapo alipokuwa amewaangamiza kabisa wenyeji wote wa Ai;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo