Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 17:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Basi Yoshua akafanya kama Musa alivyomwambia, akapigana na Amaleki; na Musa na Haruni na Huri wakapanda juu ya kile kilima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, Yoshua akafanya kama Mose alivyosema, akaenda kupigana na Waamaleki. Mose, Aroni na Huri wakapanda kilele cha kilima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, Yoshua akafanya kama Mose alivyosema, akaenda kupigana na Waamaleki. Mose, Aroni na Huri wakapanda kilele cha kilima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, Yoshua akafanya kama Mose alivyosema, akaenda kupigana na Waamaleki. Mose, Aroni na Huri wakapanda kilele cha kilima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kwa hiyo Yoshua akapigana na Waamaleki kama Musa alivyomwagiza, nao Musa, Haruni na Huri wakapanda juu ya kilima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kwa hiyo Yoshua akapigana na Waamaleki kama Musa alivyomwagiza, nao Musa, Haruni na Huri wakapanda juu ya kilima.

Tazama sura Nakili




Kutoka 17:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Azuba, naye Kalebu akamtwaa Efrata, aliyemzalia Huri.


Ikawa, Musa alipouinua mkono wake, Israeli walishinda; na alipoushusha mkono wake, Amaleki walishinda.


Lakini mikono ya Musa ililegea; basi wakatwaa jiwe, wakaliweka chini yake akalikalia. Haruni na Huri wakaitengemaza mikono yake, mmoja upande huu na mmoja upande huu; mikono yake ikathibitika hata jua lilipokuchwa.


Akawaambia hao wazee, Tungojeeni hapa, mpaka tutakaporudi kwenu; na tazameni, Haruni na Huri wapo pamoja nanyi; kila mtu aliye na jambo na awaendee.


Angalia, nimemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda;


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Mamaye akawaambia watumishi, Lolote atakalowaambia, fanyeni.


Vile vile kama BWANA alivyomwamuru Musa mtumishi wake, ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua; naye Yoshua akafanya hivyo; hakukosa kufanya neno lolote katika hayo yote BWANA aliyomwamuru Musa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo