Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 16:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Hiyo omeri ni sehemu kumi ya efa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 (Posho ya mana, kiasi cha pishi nne, ilikuwa sehemu ya kumi ya kipimo cha kawaida kiitwacho efa.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 (Posho ya mana, kiasi cha pishi nne, ilikuwa sehemu ya kumi ya kipimo cha kawaida kiitwacho efa.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 (Posho ya mana, kiasi cha pishi nne, ilikuwa sehemu ya kumi ya kipimo cha kawaida kiitwacho efa.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 (Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 (Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa.)

Tazama sura Nakili




Kutoka 16:36
5 Marejeleo ya Msalaba  

Neno hili ndilo aliloagiza BWANA, Okoteni ninyi kitu hicho kila mtu kama ulaji wake ulivyo; kila mtu pishi moja kama hesabu ya watu wenu ilivyo; ndivyo mtakavyotwaa, kila mtu kwa ajili ya hao walioko hemani mwake.


Efa na bathi zitakuwa za kipimo kimoja; ili kwamba bathi ichukue sehemu ya kumi ya homeri, na efa sehemu ya kumi ya homeri; kipimo chake kitakuwa kwa kadiri ya cheo cha kawaida cha homeri.


pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta ya kupondwa.


Basi Ruthu akaokota mabaki shambani hadi jioni; kisha akazipura zile nafaka alizoziokota, zikawa yapata efa moja ya shayiri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo