Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 16:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Basi hao watu wakapumzika kwa siku ya saba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Kwa hiyo, watu walipumzika siku ya saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Kwa hiyo, watu walipumzika siku ya saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Kwa hiyo, watu walipumzika siku ya saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kwa hiyo watu wakapumzika siku ya saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kwa hiyo watu wakapumzika siku ya saba.

Tazama sura Nakili




Kutoka 16:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, kwa kuwa BWANA amewapa ninyi hiyo Sabato, kwa sababu hii huwapa siku ya sita chakula cha siku mbili; kaeni kila mtu mahali pake, mtu awaye yote asiondoke mahali pake kwa siku ya saba.


Na nyumba ya Israeli wakakiita jina lake Mana; nacho kilikuwa mfano wa chembe za mtama, nyeupe; na utamu wake ulikuwa kama utamu wa maandazi membamba yaliyoandaliwa kwa asali.


Mtafanya kazi siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, kusanyiko takatifu; msifanye kazi ya namna yoyote; ni Sabato kwa BWANA katika makao yenu yote.


Basi, limesalia pumziko la sabato kwa watu wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo