Kutoka 16:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 BWANA akamwambia Musa, Mtakataa kuyashika maagizo yangu na sheria zangu hata lini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Mpaka lini mtakataa kuzitii amri na Sheria zangu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Mpaka lini mtakataa kuzitii amri na Sheria zangu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Mpaka lini mtakataa kuzitii amri na Sheria zangu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Ndipo Mwenyezi Mungu akamwambia Musa, “Je, mtaacha kushika maagizo na maelekezo yangu hadi lini? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Ndipo bwana akamwambia Musa, “Je, mtaacha kushika maagizo na maelekezo yangu mpaka lini? Tazama sura |