Kutoka 16:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Siku sita mtaokota; lakini siku ya saba ni Sabato, siku hiyo hakitapatikana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Kwa siku sita mtakuwa mkikusanya chakula hiki, lakini siku ya saba ambayo ni Sabato hakitakuwapo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Kwa siku sita mtakuwa mkikusanya chakula hiki, lakini siku ya saba ambayo ni Sabato hakitakuwapo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Kwa siku sita mtakuwa mkikusanya chakula hiki, lakini siku ya saba ambayo ni Sabato hakitakuwapo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Kwa siku sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani Sabato, hakutakuwa chochote.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Kwa siku sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani Sabato, hakutakuwepo chochote.” Tazama sura |