Kutoka 16:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Musa akasema, Haya, kuleni hiki leo; kwa kuwa leo ni Sabato ya BWANA; leo hamtakiona nje barani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Basi, Mose akawaambia, “Kuleni chakula hicho kilichosalia kwa sababu leo ni Sabato ya Mwenyezi-Mungu. Leo hamtapata chakula huko nje. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Basi, Mose akawaambia, “Kuleni chakula hicho kilichosalia kwa sababu leo ni Sabato ya Mwenyezi-Mungu. Leo hamtapata chakula huko nje. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Basi, Mose akawaambia, “Kuleni chakula hicho kilichosalia kwa sababu leo ni Sabato ya Mwenyezi-Mungu. Leo hamtapata chakula huko nje. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Musa akawaambia, “Kuleni leo, kwa sababu leo ni Sabato kwa Mwenyezi Mungu. Hamtapata chochote juu ya nchi leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Musa akawaambia, “Kuleni leo, kwa sababu leo ni Sabato kwa bwana. Hamtapata chochote juu ya nchi leo. Tazama sura |