Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 15:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Vilindi vimewafunikiza, Walizama vilindini kama jiwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Vilindi vya maji vimewafunika, wameporomoka baharini kama jiwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Vilindi vya maji vimewafunika, wameporomoka baharini kama jiwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Vilindi vya maji vimewafunika, wameporomoka baharini kama jiwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Maji yenye kina yamewafunika, wamezama vilindini kama jiwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Maji yenye kina yamewafunika, wamezama mpaka vilindini kama jiwe.

Tazama sura Nakili




Kutoka 15:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe uliipasua bahari mbele yao, hata wakapita katikati ya bahari katika nchi kavu; na wale waliokuwa wakiwafuatia ukawatupa vilindini, kama jiwe katika maji makuu.


Maji yakawafunika watesi wao, Hakusalia hata mmoja wao.


Yale maji yakarudi yakafunikiza magari na wapanda farasi, hata jeshi lote la Farao lililoingia katika bahari nyuma yao; hakusalia hata mtu mmoja.


Ulivuma kwa upepo wako, bahari ikawafunikiza; Wakazama kama risasi ndani ya maji makuu.


Hofu na woga zimewaangukia; Kwa uweza wa mkono wako wanakaa kimya kama jiwe; Hata watakapovuka watu wako, Ee BWANA, Hata watakapovuka watu wako uliowanunua.


Wakati havijakuwapo vilindi nilizaliwa, Wakati hazijakuwapo chemchemi zilizojaa maji.


Wakati ulipovunjwa na bahari, katika vilindi vya maji, bidhaa zako na jeshi lako lote walianguka kati yako.


Akasema, Nilimlilia BWANA kwa sababu ya shida yangu, Naye akaniitikia; Katika tumbo la kuzimu niliomba, Nawe ukasikia sauti yangu.


Atarejea na kutuhurumia; atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.


bali atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungiwe shingoni jiwe kubwa la kusagia, na kutoswa katika kilindi cha bahari.


Na malaika mmoja mwenye nguvu akainua jiwe, kama jiwe kubwa la kusagia, akalitupa katika bahari, akisema, Kama hivi, kwa nguvu nyingi, utatupwa Babeli, mji ule mkuu, wala hautaonekana tena kabisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo