Kutoka 12:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC50 Ndivyo walivyofanya wana wa Israeli wote; kama BWANA alivyowaagiza Musa na Haruni, ndivyo walivyofanya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema50 Waisraeli wote walitii sheria hiyo na kufanya kama Mwenyezi-Mungu alivyowaagiza Mose na Aroni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND50 Waisraeli wote walitii sheria hiyo na kufanya kama Mwenyezi-Mungu alivyowaagiza Mose na Aroni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza50 Waisraeli wote walitii sheria hiyo na kufanya kama Mwenyezi-Mungu alivyowaagiza Mose na Aroni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu50 Waisraeli wote walifanya kama vile Mwenyezi Mungu alivyomwagiza Musa na Haruni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu50 Waisraeli wote walifanya kama vile bwana alivyomwagiza Musa na Haruni. Tazama sura |
Nami nimempa Haruni hao Walawi wawe kipawa chake yeye na wanawe, kutoka kwa wana wa Israeli, ili wafanye kazi ya kutumikia wana wa Israeli katika hema ya kukutania, kisha wafanye upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli; ili kusiwe na maradhi kati ya wana wa Israeli, hapo wana wa Israeli watakapopakaribia mahali patakatifu.