Kutoka 12:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Twaeni kondoo zenu na ng'ombe zenu kama mlivyosema, nendeni zenu, mkanibariki mimi pia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Chukueni makundi yenu ya kondoo na ng'ombe, mwondoke; niombeeni na mimi baraka.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Chukueni makundi yenu ya kondoo na ng'ombe, mwondoke; niombeeni na mimi baraka.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Chukueni makundi yenu ya kondoo na ng'ombe, mwondoke; niombeeni na mimi baraka.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Chukueni makundi yenu ya kondoo na mbuzi pamoja na ng’ombe, kama mlivyosema, nanyi mwende zenu. Nanyi pia mnibariki.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Chukueni makundi yenu ya kondoo na mbuzi pamoja na ng’ombe, kama mlivyosema, nanyi mwende zenu. Nanyi pia mnibariki.” Tazama sura |