Kutoka 12:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Basi wana wa Israeli wakaenda na kufanya mambo hayo; vile vile kama BWANA alivyowaamuru Musa na Haruni, ndivyo walivyofanya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Kisha Waisraeli wakaenda, wakafanya kama walivyoambiwa na Mose na Aroni kulingana na amri ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Kisha Waisraeli wakaenda, wakafanya kama walivyoambiwa na Mose na Aroni kulingana na amri ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Kisha Waisraeli wakaenda, wakafanya kama walivyoambiwa na Mose na Aroni kulingana na amri ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Waisraeli wakafanya kama vile Mwenyezi Mungu alivyomwagiza Musa na Haruni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Waisraeli wakafanya kama vile bwana alivyomwagiza Musa na Haruni. Tazama sura |