Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 12:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Nanyi mtalitunza jambo hili kuwa ni amri kwako na kwa wanao milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Shikeni jambo hilo nyinyi na wazawa wenu kama agizo la milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Shikeni jambo hilo nyinyi na wazawa wenu kama agizo la milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Shikeni jambo hilo nyinyi na wazawa wenu kama agizo la milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 “Shikeni maagizo haya yawe kanuni ya kudumu kwenu na kwa ajili ya wazao wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 “Shikeni maagizo haya yawe kanuni ya kudumu kwenu na kwa ajili ya wazao wenu.

Tazama sura Nakili




Kutoka 12:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaifanya iwe sikukuu kwa BWANA; mtaifanya iwe sikukuu katika vizazi vyenu vyote, kwa amri ya milele


Nanyi mtaitunza ile sikukuu ya mikate isiyochachwa; kwa kuwa katika siku iyo hiyo mimi nimeyatoa majeshi yenu katika nchi ya Misri; kwa hiyo mtaitunza siku hiyo katika vizazi vyenu vyote, kwa amri ya milele.


Itakuwa hapo mtakapoifikia hiyo nchi, BWANA atakayowapa, kama alivyoahidi, ndipo mtakapoushika utumishi huu.


Kwa hiyo utaitunza amri hii kwa wakati wake mwaka baada ya mwaka.


Itakuwa hapo BWANA atakapowaleta mpaka nchi ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Wahivi, na Wayebusi, nchi hiyo aliyowaapia baba zako kwamba atakupa wewe, ni nchi imiminikayo maziwa na asali, ndipo mtakapoushika utumishi huu katika mwezi huu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo