Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 12:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Msile kitu chochote kilichochachwa; mtakula mikate isiyochachwa katika makao yenu yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Popote pale mnapoishi, ni mwiko kabisa kula chochote kilichotiwa chachu. Mnapaswa kula mikate isiyotiwa chachu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Popote pale mnapoishi, ni mwiko kabisa kula chochote kilichotiwa chachu. Mnapaswa kula mikate isiyotiwa chachu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Popote pale mnapoishi, ni mwiko kabisa kula chochote kilichotiwa chachu. Mnapaswa kula mikate isiyotiwa chachu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Msile chochote kilichotiwa chachu. Popote mnapoishi, ni lazima mle mikate isiyotiwa chachu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Msile chochote kilichotiwa chachu. Popote muishipo, ni lazima mle mikate isiyotiwa chachu.”

Tazama sura Nakili




Kutoka 12:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Muda wa siku saba isionekane chachu katika nyumba zenu kabisa; kwa kuwa mtu yeyote atakayekula hiyo iliyotiwa chachu, nafsi hiyo atakatiliwa mbali na mkutano wa Israeli, akiwa mwenye kukaa kama mgeni, au akiwa mtu aliyezaliwa katika nchi.


Hapo ndipo Musa akawaita wazee wa Israeli, na kuwaambia, Nendeni, mkajitwalie wana-kondoo kama jamaa zenu zilivyo mkamchinje kondoo wa Pasaka.


Usisongeze damu ya sadaka yangu pamoja na mkate uliotiwa chachu; wala hiyo sadaka ya sikukuu ya Pasaka haitasazwa hata asubuhi.


Akawaambia mfano mwingine; Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyoitwaa mwanamke, akaisitiri ndani ya pishi tatu za unga, hata ukachachwa wote pia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo