Kutoka 11:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Musa akasema, BWANA asema hivi, Kama usiku wa manane mimi nitatoka nipite kati ya Misri; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mose akamwambia Farao, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Panapo usiku wa manane leo, nitapitia katikati ya nchi ya Misri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mose akamwambia Farao, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Panapo usiku wa manane leo, nitapitia katikati ya nchi ya Misri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mose akamwambia Farao, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Panapo usiku wa manane leo, nitapitia katikati ya nchi ya Misri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa hiyo Musa akasema, “Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: ‘Usiku wa manane, Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa hiyo Musa akasema, “Hili ndilo bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri. Tazama sura |