Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 10:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Au, kwamba wakataa kuwapa hao watu wangu ruhusa waende zao, tazama, kesho nitaleta nzige waingie ndani ya mipaka yako;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Ukikataa kuwaacha watu wangu waondoke, basi, kesho nitaleta nzige waivamie nchi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Ukikataa kuwaacha watu wangu waondoke, basi, kesho nitaleta nzige waivamie nchi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Ukikataa kuwaacha watu wangu waondoke, basi, kesho nitaleta nzige waivamie nchi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ukikataa kuwaachia waende, kesho nitaleta nzige katika nchi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kama ukikataa kuwaachia waende, kesho nitaleta nzige katika nchi yako.

Tazama sura Nakili




Kutoka 10:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, na kumwambia, BWANA, Mungu wa Waebrania, asema hivi, Je! Utakataa hata lini kujinyenyekeza mbele zangu? Wape watu wangu ruhusa waende zao, ili wanitumikie.


nao wataufunika uso wa nchi, mtu asipate kuona hiyo nchi; nao watakula mabaki ya hayo yaliyopona yaliyowasalia baada ya ile mvua ya mawe, watakula kila mti umeao kwa ajili yenu mashambani;


nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.


Hata baadaye, Musa na Haruni wakaenda wakamwambia Farao, wakasema, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Wape watu wangu ruhusa waende, ili kunifanyia sikukuu jangwani.


Akamwambia, Kesho, Akasema, Na yawe kama neno lako; ili upate kujua ya kwamba hapana mwingine mfano wa BWANA, Mungu wetu.


Nami nitatia mpaka kati ya watu wangu na watu wako; ishara hiyo italetwa kesho.


Tazama, kesho wakati kama huu, nitanyesha mvua ya mawe nzito sana, ambayo mfano wake haujakuwa huko Misri tangu siku ile ilipoanza kuwa hata hivi sasa.


Naye BWANA akaweka muda, akasema, Kesho BWANA atalifanya jambo hili katika nchi.


Nzige hawana mfalme; Lakini huenda wote pamoja vikosi vikosi.


Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu.


Mbegu nyingi utazichukua nje shambani, lakini utavuna haba, kwa kuwa nzige watazila.


Nzige wakatoka katika ule moshi, wakaenda juu ya nchi, wakapewa nguvu kama nguvu waliyo nayo nge wa nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo