Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Akatoka kwa Farao, na kumwomba BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Basi, Mose akaondoka kwa Farao, akaenda kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Basi, Mose akaondoka kwa Farao, akaenda kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Basi, Mose akaondoka kwa Farao, akaenda kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kisha Musa akaondoka kwa Farao akamwomba Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kisha Musa akaondoka kwa Farao akamwomba bwana.

Tazama sura Nakili




Kutoka 10:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaugeuza upepo wa magharibi wenye nguvu nyingi, ambao uliwaondoa wale nzige na kuwapeleka katika Bahari ya Shamu; hakusalia hata nzige mmoja ndani ya mipaka yote ya Misri.


Basi Musa na Haruni wakatoka kwa Farao; Musa akamlilia BWANA katika jambo la hao vyura aliokuwa amewaleta juu ya Farao.


Ndipo Farao akawaita Musa na Haruni na kuwaambia, Mwombeni BWANA, ili awaondoe vyura hawa kwangu mimi na kwa watu wangu; nami nitawapa watu ruhusa waende zao, ili wamtolee BWANA dhabihu.


Musa akamwambia Farao, Haya, ujitukuze juu yangu katika jambo hili; sema ni lini unapotaka nikuombee wewe, na watumishi wako, na watu wako, ili hao vyura waangamizwe watoke kwako wewe na nyumba zako, wakae ndani ya mto tu.


Ndipo watu wakamlilia Musa; naye Musa akamwomba BWANA, na ule moto ukakoma.


lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,


wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo