Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 10:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Basi Musa akainyosha fimbo yake juu ya nchi ya Misri, na BWANA akaleta upepo kutoka mashariki juu ya nchi, mchana kutwa, na usiku kucha; kulipopambazuka ule upepo wa mashariki ukawaleta nzige.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, Mose akainyosha fimbo yake juu ya nchi ya Misri. Mwenyezi-Mungu akaleta upepo toka mashariki, ukavuma juu ya nchi mchana kutwa na usiku kucha. Kulipokucha, ule upepo ukawa umeleta nzige.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, Mose akainyosha fimbo yake juu ya nchi ya Misri. Mwenyezi-Mungu akaleta upepo toka mashariki, ukavuma juu ya nchi mchana kutwa na usiku kucha. Kulipokucha, ule upepo ukawa umeleta nzige.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, Mose akainyosha fimbo yake juu ya nchi ya Misri. Mwenyezi-Mungu akaleta upepo toka mashariki, ukavuma juu ya nchi mchana kutwa na usiku kucha. Kulipokucha, ule upepo ukawa umeleta nzige.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa hiyo Musa akanyoosha fimbo yake juu ya Misri, Mwenyezi Mungu akauleta upepo wa mashariki ukavuma katika nchi yote mchana wote na usiku kucha, kufikia asubuhi upepo ukawa umeleta nzige.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa hiyo Musa akanyoosha fimbo yake juu ya Misri, bwana akauleta upepo wa mashariki ukavuma katika nchi yote mchana wote na usiku kucha, kufikia asubuhi upepo ukawa umeleta nzige.

Tazama sura Nakili




Kutoka 10:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, masuke saba membamba, yamekaushwa na upepo wa mashariki, yakatokeza baada yao.


Alisema, kukaja nzige, Na tunutu wasiohesabika;


Moto na mvua ya mawe, theluji na mvuke, Upepo wa dhoruba utimizao neno lake.


Aliuelekeza upepo wa mashariki kuvuma toka mbinguni; Na kwa uweza wake akauongoza upepo wa kusini.


Akawapa tunutu mazao yao, Na nzige matunda ya kazi yao.


Musa; akanyosha mkono wake juu ya bahari; BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki, usiku kucha, akaifanya bahari kuwa nchi kavu, maji yakagawanyika.


Nzige hawana mfalme; Lakini huenda wote pamoja vikosi vikosi.


Lakini BWANA alituma upepo mkuu baharini, ikawa tufani kubwa baharini, hata merikebu ikawa karibu kuvunjika.


Basi ikawa, jua lilipopanda juu, Mungu akatayarisha upepo wa mashariki, wenye joto jingi; jua likampiga Yona kichwani, hata akazimia, naye akajitakia kufa, akasema, Ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Wale watu wakamaka wakisema, Huyu ni mtu wa namna gani hata pepo na bahari zamtii?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo