Kumbukumbu la Torati 9:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Na hapo nilipokwea mlimani kwenda kuzipokea mbao za mawe, nazo ni mbao za agano BWANA alilofanya nanyi, ndipo nikakaa mle mlimani siku arubaini usiku na mchana; sikula chakula wala kunywa maji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Nilipopanda mlimani kupokea vibao vya mawe ambavyo viliandikwa agano ambalo Mwenyezi-Mungu alifanya nanyi, nilikaa huko siku arubaini, usiku na mchana; sikula wala kunywa chochote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Nilipopanda mlimani kupokea vibao vya mawe ambavyo viliandikwa agano ambalo Mwenyezi-Mungu alifanya nanyi, nilikaa huko siku arubaini, usiku na mchana; sikula wala kunywa chochote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Nilipopanda mlimani kupokea vibao vya mawe ambavyo viliandikwa agano ambalo Mwenyezi-Mungu alifanya nanyi, nilikaa huko siku arubaini, usiku na mchana; sikula wala kunywa chochote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Nilipopanda mlimani kupokea vibao vya mawe, vile vibao vya agano ambalo Mwenyezi Mungu alilifanya nanyi, nilikaa mlimani siku arobaini usiku na mchana; sikula mkate wala sikunywa maji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Nilipopanda mlimani kupokea mbao za mawe, mbao za Agano lile bwana alilofanya nanyi, nilikaa mlimani siku arobaini usiku na mchana, sikula mkate wala sikunywa maji. Tazama sura |