Kumbukumbu la Torati 9:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Ndipo nikaanguka chini mbele za BWANA siku zile arubaini usiku na mchana nilizokuwa nimeanguka chini; kwa kuwa BWANA alisema atawaangamiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 “Kwa hiyo, nililala kifudifudi mbele ya Mwenyezi-Mungu siku hizo arubaini, usiku na mchana, kwa sababu Mwenyezi-Mungu alikuwa amesema atawaangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 “Kwa hiyo, nililala kifudifudi mbele ya Mwenyezi-Mungu siku hizo arubaini, usiku na mchana, kwa sababu Mwenyezi-Mungu alikuwa amesema atawaangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 “Kwa hiyo, nililala kifudifudi mbele ya Mwenyezi-Mungu siku hizo arubaini, usiku na mchana, kwa sababu Mwenyezi-Mungu alikuwa amesema atawaangamiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Nilianguka kifudifudi mbele za Mwenyezi Mungu kwa zile siku arobaini usiku na mchana kwa sababu Mwenyezi Mungu alikuwa amesema angewaangamiza ninyi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Nilianguka kifudifudi mbele za bwana kwa zile siku arobaini usiku na mchana kwa sababu bwana alikuwa amesema angewaangamiza ninyi. Tazama sura |