Kumbukumbu la Torati 9:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Na wakati alipowatuma BWANA kutoka Kadesh-barnea, akiwaambia, Kweeni mkaimiliki nchi niliyowapa; ndipo mkaasi juu ya maagizo ya BWANA, Mungu wenu, hamkumsadiki wala hamkusikiza sauti yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Na Mwenyezi-Mungu alipowatuma kutoka Kadesh-barnea akisema, ‘Nendeni mkaimiliki nchi ambayo nimewapatia,’ mlimwasi; hamkusadiki wala hamkutii yale aliyowaambia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Na Mwenyezi-Mungu alipowatuma kutoka Kadesh-barnea akisema, ‘Nendeni mkaimiliki nchi ambayo nimewapatia,’ mlimwasi; hamkusadiki wala hamkutii yale aliyowaambia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Na Mwenyezi-Mungu alipowatuma kutoka Kadesh-barnea akisema, ‘Nendeni mkaimiliki nchi ambayo nimewapatia,’ mlimwasi; hamkusadiki wala hamkutii yale aliyowaambia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Vilevile wakati Mwenyezi Mungu alipowatuma kutoka Kadesh-Barnea, alisema, “Kweeni, mkaimiliki nchi niliyowapa.” Lakini mliasi dhidi ya agizo la Mwenyezi Mungu, Mungu wenu. Hamkumtegemea wala kumtii. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Vilevile wakati bwana alipowatuma kutoka Kadesh-Barnea, alisema, “Kweeni, mkaimiliki nchi ambayo nimewapa.” Lakini mliasi dhidi ya agizo la bwana Mwenyezi Mungu wenu. Hamkumtegemea wala kumtii. Tazama sura |