Kumbukumbu la Torati 9:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Kwa kuwa niliogopa hasira na makamio aliyowakasirikia BWANA kutaka kuwaangamiza. Lakini BWANA alinisikiza wakati huo nao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Niliogopa kwamba hasira na ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu dhidi yenu, ingewaangamiza; lakini Mwenyezi-Mungu alinisikiliza pia wakati huo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Niliogopa kwamba hasira na ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu dhidi yenu, ingewaangamiza; lakini Mwenyezi-Mungu alinisikiliza pia wakati huo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Niliogopa kwamba hasira na ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu dhidi yenu, ingewaangamiza; lakini Mwenyezi-Mungu alinisikiliza pia wakati huo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Niliogopa hasira na ghadhabu ya Mwenyezi Mungu, kwa kuwa aliwakasirikia ninyi sana na kutaka kuwaangamiza. Bali Mwenyezi Mungu alinisikiliza tena. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Niliogopa hasira na ghadhabu ya bwana, kwa kuwa aliwakasirikia vya kutosha na kutaka kuwaangamiza. Lakini bwana alinisikiliza tena. Tazama sura |