Kumbukumbu la Torati 8:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Nawe uzishike amri za BWANA, Mungu wako, upate kwenda katika njia zake, na kumcha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Hivyo, shikeni amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mpate kuzifuata njia zake na kumcha yeye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Hivyo, shikeni amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mpate kuzifuata njia zake na kumcha yeye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Hivyo, shikeni amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mpate kuzifuata njia zake na kumcha yeye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Shikeni maagizo ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, mtembee katika njia zake na kumheshimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Shikeni maagizo ya bwana Mwenyezi Mungu wenu mtembee katika njia zake na kumheshimu. Tazama sura |