Kumbukumbu la Torati 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Kama vile mataifa yale ambayo BWANA anawaangamiza mbele yenu, ndivyo mtakavyoangamia; kwa sababu hamkutaka kuisikiliza sauti ya BWANA, Mungu wenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Msipomtii Mwenyezi-Mungu, mtaangamia kama mataifa ambayo anayaangamiza mbele yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Msipomtii Mwenyezi-Mungu, mtaangamia kama mataifa ambayo anayaangamiza mbele yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Msipomtii Mwenyezi-Mungu, mtaangamia kama mataifa ambayo anayaangamiza mbele yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kama mataifa Mwenyezi Mungu aliyoyaangamiza mbele yenu, ndivyo ninyi mtakavyoangamizwa kwa kutokumtii Mwenyezi Mungu, Mungu wenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kama mataifa bwana aliyoyaangamiza mbele yenu, ndivyo ninyi mtakavyoangamizwa kwa kutokumtii bwana Mwenyezi Mungu wenu. Tazama sura |