Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 7:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 binti yako usimwoze kwao wala mtoto wako wa kiume kuoa kwao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Msioane nao, wala msiwaoze binti zenu au wana wenu kwao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Msioane nao, wala msiwaoze binti zenu au wana wenu kwao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Msioane nao, wala msiwaoze binti zenu au wana wenu kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Usioane nao. Usimtoe binti yako kuolewa na mwanawe, au kumchukua binti yake aolewe na mwanao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Usioane nao. Usimtoe binti yako kuolewa na mwanawe, au kumchukua binti yake aolewe na mwanao.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 7:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitakuapisha kwa BWANA, Mungu wa mbingu, na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za Wakanaani ambao nakaa kati yao;


na wa mataifa BWANA aliyowaambia wana wa Israeli, Msiingie kwao, wala wasiingie kwenu; kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu kuifuata miungu yao. Sulemani akaambatana nao kwa kuwapenda.


Ikawa, kama ingalikuwa neno dogo tu kuyaendea makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, akaenda akamtumikia Baali, akamsujudia.


Haya basi! Na tufanye agano na Mungu wetu, kuachana na wake zetu, na wale waliozaliwa nao, tukilifuata shauri la bwana wangu, na shauri la hao wanaoitetemekea amri ya Mungu wetu; mambo haya na yatendeke kwa kuifuata torati.


Basi, msiwape wana wao binti zenu, wala msitwae binti zao kuwa wake za wana wenu, wala msiwatakie amani wala kufanikiwa milele; ili mpate kuwa hodari, na kula wema wa nchi hiyo, na kuwaachia watoto wenu iwe urithi wa milele.


wala tusiwaoze watu wa nchi binti zetu, wala kuwatwalia wana wetu binti zao;


Ndipo baba yake na mama yake wakamwambia, Je! Hapana mwanamke hata mmoja katika ndugu zako, au katika jamaa zangu wote, hata uende kumuoa mwanamke kwa hawa Wafilisti wasiotahiriwa? Samsoni akamwambia baba yake; Mniruhusu nimuoe huyo, kwa maana ananipendeza sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo