Kumbukumbu la Torati 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Basi zishike amri, na sheria, na hukumu ninazokuamuru leo, uzitende. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kwa hiyo muwe waangalifu kushika amri, masharti na maagizo ninayowaamuru leo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kwa hiyo muwe waangalifu kushika amri, masharti na maagizo ninayowaamuru leo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kwa hiyo muwe waangalifu kushika amri, masharti na maagizo ninayowaamuru leo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa hiyo, kuweni waangalifu kufuata maagizo, amri na sheria ninazowapa leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa hiyo, kuweni waangalifu kufuata maagizo, amri na sheria ninazowapa leo. Tazama sura |