Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Basi zishike amri, na sheria, na hukumu ninazokuamuru leo, uzitende.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Kwa hiyo muwe waangalifu kushika amri, masharti na maagizo ninayowaamuru leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kwa hiyo muwe waangalifu kushika amri, masharti na maagizo ninayowaamuru leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kwa hiyo muwe waangalifu kushika amri, masharti na maagizo ninayowaamuru leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kwa hiyo, kuweni waangalifu kufuata maagizo, amri na sheria ninazowapa leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kwa hiyo, kuweni waangalifu kufuata maagizo, amri na sheria ninazowapa leo.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 7:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mkinipenda, mtazishika amri zangu.


Na sasa, Ee Israeli, zisikilizeni amri na hukumu ninazowafundisha, ili mzitende; mpate kuishi na kuingia na kuimiliki nchi anayowapa BWANA, Mungu wa baba zenu.


Angalieni nimewafundisha amri na hukumu, vile vile kama BWANA, Mungu wangu, alivyoniamuru, ili mzitende katika nchi mwingiayo ili kuimiliki.


Tunzeni basi, mtende kama mlivyoamriwa na BWANA, Mungu wenu; msikengeuke kwa mkono wa kulia wala wa kushoto.


naye huwalipa wamchukiao mbele ya uso wao, kuwaangamiza. Hatakuwa mlegevu kwake yeye amchukiaye, atamlipa mbele ya uso wake.


Na itakuwa, kwa sababu mnazisikiliza hukumu hizi, na kuzishika na kuzitenda, basi BWANA, Mungu wako, atakutimilizia agano na rehema aliyowaapia baba zako;


Jihadhari, usije ukamsahau BWANA, Mungu wako, kwa kutozishika amri zake, na hukumu zake, na sheria zake, ninazokuamuru leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo