Kumbukumbu la Torati 6:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Tena itakuwa haki kwetu, tukizingatia kufanya maagizo haya yote mbele ya BWANA, Mungu wetu, kama alivyotuagiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Tena tutakuwa waadilifu kama tukitimiza kwa uangalifu amri hizi zote mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru’. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Tena tutakuwa waadilifu kama tukitimiza kwa uangalifu amri hizi zote mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru’. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Tena tutakuwa waadilifu kama tukitimiza kwa uangalifu amri hizi zote mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru’. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kama tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za bwana Mwenyezi Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.” Tazama sura |