Kumbukumbu la Torati 6:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Na zamani zijazo atakapokuuliza mwanao, akikuambia, Ni nini mashuhudizo, na amri, na hukumu, alizowaagiza BWANA, Mungu wetu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 “Siku zijazo, watoto wenu wakiwauliza, ‘Nini maana ya maamuzi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, aliwaamuru kutenda?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 “Siku zijazo, watoto wenu wakiwauliza, ‘Nini maana ya maamuzi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, aliwaamuru kutenda?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 “Siku zijazo, watoto wenu wakiwauliza, ‘Nini maana ya maamuzi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, aliwaamuru kutenda?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Siku zijazo, mtoto wako atakapokuuliza, “Ni nini maana ya masharti haya, amri na sheria hizi ambazo Mwenyezi Mungu, Mungu wako, alikuagiza wewe?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Siku zijazo, mtoto wako atakapokuuliza, “Ni nini maana ya masharti haya, amri na sheria hizi ambazo bwana Mwenyezi Mungu wako alikuagiza wewe?” Tazama sura |