Kumbukumbu la Torati 6:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Zishikeni kwa bidii sheria za BWANA, Mungu wenu, na maagizo yake, na amri zake alizokuagiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Hakikisheni kwamba mnazitii amri zake Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, maamuzi na masharti yake ambayo amewaamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Hakikisheni kwamba mnazitii amri zake Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, maamuzi na masharti yake ambayo amewaamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Hakikisheni kwamba mnazitii amri zake Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, maamuzi na masharti yake ambayo amewaamuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Utayashika maagizo ya Mwenyezi Mungu, Mungu wako, kwa bidii, na masharti na amri alizokupa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Utayashika maagizo ya bwana Mwenyezi Mungu wako kwa bidii, na masharti na amri alizokupa. Tazama sura |