Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 5:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Wala usizini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 “ ‘Usizini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 “ ‘Usizini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 “‘Usizini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Usizini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Usizini.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 5:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akatuma wajumbe, akamtwaa; naye akaingia kwake; naye akalala naye; (maana yule mwanamke amekwisha kutakasika unajisi wake); kisha akarudi nyumbani kwake.


Hapana neno ila kuapa kwa uongo, na kuvunja ahadi, na kuua, na kuiba, na kuzini; huruka mpaka, na kumwaga damu mfululizo.


Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


Akamwambia, Zipi? Yesu akasema, Ni hizi, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo,


Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usidanganye, Waheshimu baba yako na mama yako.


Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.


Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yoyote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo