Kumbukumbu la Torati 5:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Nawe utakumbuka ya kuwa wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, na ya kuwa BWANA, Mungu wako, alikutoa huko kwa mkono wenye nguvu, na mkono ulionyoshwa; kwa sababu hiyo BWANA, Mungu wako, alikuamuru uishike sabato. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Usisahau kwamba wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, nami Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, nikakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyoshwa; ndiyo maana mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako nimekuamuru kuiadhimisha siku ya Sabato. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Usisahau kwamba wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, nami Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, nikakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyoshwa; ndiyo maana mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako nimekuamuru kuiadhimisha siku ya Sabato. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Usisahau kwamba wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, nami Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, nikakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyoshwa; ndiyo maana mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako nimekuamuru kuiadhimisha siku ya Sabato. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kumbuka mlikuwa watumwa huko Misri, na Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, aliwatoa huko kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa. Kwa hiyo Mwenyezi Mungu, Mungu wako, amekuagiza kuiadhimisha siku ya Sabato. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kumbuka mlikuwa watumwa huko Misri, na bwana Mwenyezi Mungu wenu aliwatoa huko kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa. Kwa hiyo bwana Mwenyezi Mungu wako amekuagiza kuiadhimisha siku ya Sabato. Tazama sura |