Kumbukumbu la Torati 4:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Bali ninyi mlioambatana na BWANA, Mungu wenu, mnaishi kila mmoja wenu, hata leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Lakini nyinyi mliokuwa waaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mko hai hadi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Lakini nyinyi mliokuwa waaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mko hai hadi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Lakini nyinyi mliokuwa waaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mko hai hadi leo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 lakini ninyi nyote mlioshikamana na Mwenyezi Mungu kwa uthabiti, Mungu wenu, mko hai hadi leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 lakini ninyi nyote mlioshikamana na bwana kwa uthabiti, Mungu wenu, mko hai mpaka leo. Tazama sura |
Kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa mamlaka ya kutoa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala kuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka elfu.