Kumbukumbu la Torati 34:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Musa alikuwa mtu wa miaka mia moja na ishirini alipokufa; jicho lake halikupofuka, wala nguvu za mwili wake hazikupunguka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mose alikuwa na umri wa miaka 120 alipofariki; macho yake yalikuwa hayajafifia, na alikuwa timamu na mwenye nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mose alikuwa na umri wa miaka 120 alipofariki; macho yake yalikuwa hayajafifia, na alikuwa timamu na mwenye nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mose alikuwa na umri wa miaka 120 alipofariki; macho yake yalikuwa hayajafifia, na alikuwa timamu na mwenye nguvu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Musa alikuwa na umri wa miaka mia moja na ishirini alipofariki; hata hivyo nguvu ya macho yake haikufifia wala mwili wake haukudhoofika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Musa alikuwa na umri wa miaka mia moja na ishirini alipofariki; hata hivyo nguvu ya macho yake haikufifia wala mwili wake haukudhoofika. Tazama sura |