Kumbukumbu la Torati 34:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 na katika ule mkono wa nguvu wote, tena katika ule utisho mkuu wote, alioutenda Musa machoni pa Israeli wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Hakuna nabii mwingine ambaye amefanya mambo makuu na ya kutisha kama alivyofanya Mose mbele ya Waisraeli wote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Hakuna nabii mwingine ambaye amefanya mambo makuu na ya kutisha kama alivyofanya Mose mbele ya Waisraeli wote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Hakuna nabii mwingine ambaye amefanya mambo makuu na ya kutisha kama alivyofanya Mose mbele ya Waisraeli wote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa kuwa hakuna mtu yeyote aliyewahi kuonesha nguvu nyingi ama kutenda matendo ya kutisha ambayo Musa aliwahi kuyafanya mbele ya Israeli yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa kuwa hakuna mtu yeyote aliyewahi kuonyesha nguvu nyingi ama kutenda matendo ya kutisha ambayo Musa aliwahi kuyafanya mbele ya Israeli yote. Tazama sura |