Kumbukumbu la Torati 33:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Na Yusufu akamnena, Nchi yake na ibarikiwe na BWANA; Kwa vitu vya thamani vya mbinguni, kwa huo umande, Na kwa kilindi kilalacho chini, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Juu ya kabila la Yosefu alisema: “Mwenyezi-Mungu na aibariki nchi yake, kwa baraka nzuri kabisa kutoka juu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Juu ya kabila la Yosefu alisema: “Mwenyezi-Mungu na aibariki nchi yake, kwa baraka nzuri kabisa kutoka juu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Juu ya kabila la Yosefu alisema: “Mwenyezi-Mungu na aibariki nchi yake, kwa baraka nzuri kabisa kutoka juu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kuhusu Yusufu akasema: “Mwenyezi Mungu na aibariki nchi yake kwa umande wa thamani kutoka juu mbinguni, na vilindi vya maji vilivyotulia chini; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kuhusu Yusufu akasema: “bwana na aibariki nchi yake kwa umande wa thamani kutoka mbinguni juu, na vilindi vya maji vilivyotulia chini; Tazama sura |