Kumbukumbu la Torati 33:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Akamnena Benyamini, Mpenzi wa BWANA atakaa salama kwake; Yuamfunika mchana kutwa, Naye hukaa kati ya mabega yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Juu ya kabila la Benyamini alisema: “Hili ni kabila alipendalo Mwenyezi-Mungu, nalo hukaa salama karibu naye. Yeye hulilinda mchana kutwa, na kukaa kati ya milima yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Juu ya kabila la Benyamini alisema: “Hili ni kabila alipendalo Mwenyezi-Mungu, nalo hukaa salama karibu naye. Yeye hulilinda mchana kutwa, na kukaa kati ya milima yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Juu ya kabila la Benyamini alisema: “Hili ni kabila alipendalo Mwenyezi-Mungu, nalo hukaa salama karibu naye. Yeye hulilinda mchana kutwa, na kukaa kati ya milima yake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kuhusu Benyamini akasema: “Mwache mpendwa wa Mwenyezi Mungu apumzike salama kwake, kwa maana humkinga mchana kutwa, na yule Mwenyezi Mungu ampendaye hupumzika kati ya mabega yake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kuhusu Benyamini akasema: “Mwache mpenzi wa bwana apumzike salama kwake, kwa maana humkinga mchana kutwa, na yule bwana ampendaye hupumzika kati ya mabega yake.” Tazama sura |