Kumbukumbu la Torati 32:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC40 Maana, nainua mkono wangu mbinguni, Na kusema, Kama Mimi niishivyo milele, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema40 Nanyosha mkono wangu mbinguni, na kuapa, kwa uhai wangu wa milele, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND40 Nanyosha mkono wangu mbinguni, na kuapa, kwa uhai wangu wa milele, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza40 Nanyosha mkono wangu mbinguni, na kuapa, kwa uhai wangu wa milele, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu40 Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na kusema: Hakika kama niishivyo milele, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu40 Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na kusema: Hakika kama niishivyo milele, Tazama sura |
Nami nikamsikia yule mtu aliyevikwa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, hapo alipoinua mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni; akaapa kwa yeye aliye hai milele na milele, ya kwamba itakuwa nyakati tatu na nusu; tena watakapokuwa wamekwisha kuvunja nguvu za hao watu watakatifu, ndipo mambo hayo yote yatakapotimizwa.