Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 32:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Je! Haya hayakuwekwa akiba kwangu? Na kutiwa mhuri kati ya hazina yangu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 “Je sina njia ya kuwaadhibu? Silaha zangu ninazo mkononi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 “Je sina njia ya kuwaadhibu? Silaha zangu ninazo mkononi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 “Je sina njia ya kuwaadhibu? Silaha zangu ninazo mkononi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 “Je, hili sikuliweka akiba na kulifungia kwenye vyumba vyangu vya hazina?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 “Je, hili sikuliweka akiba na kulifungia kwenye vyumba vyangu vya hazina?

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 32:34
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kosa langu limetiwa mhuri mfukoni, Nawe waufunga uovu wangu.


Maana ujapojiosha kwa magadi, na kujipatia sabuni nyingi, lakini uovu wako umeandikwa mbele zangu, asema Bwana MUNGU.


Nami nikaitia sahihi ile hati, na kuipiga mhuri, nikawaita mashahidi, nikampimia ile fedha katika mizani.


Uvumba mliofukiza katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu, ninyi, na baba zenu, wafalme wenu, na wakuu wenu, na watu wa nchi, je! BWANA hakuwakumbuka watu hao? Je! Jambo hili halikuingia moyoni mwake?


Uovu wa Efraimu umefungwa kwa kukazwa; dhambi yake imewekwa akiba.


Bali kwa kadiri ya ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu,


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


BWANA akawang'oa katika nchi yao kwa hasira, na ghadhabu, na makamio makuu, akawatupa waende nchi nyingine, kama hivi leo.


Mvinyo yao ni sumu ya majoka, Uchungu mkali wa nyoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo