Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 32:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Mvinyo yao ni sumu ya majoka, Uchungu mkali wa nyoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Divai yao ni kama sumu ya nyoka, ina sumu kali ya majoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Divai yao ni kama sumu ya nyoka, ina sumu kali ya majoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Divai yao ni kama sumu ya nyoka, ina sumu kali ya majoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Mvinyo wao ni sumu ya nyoka, sumu yenye kufisha ya swila.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Mvinyo wao ni sumu ya nyoka, sumu yenye kufisha ya swila.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 32:33
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wamenoa ndimi zao na kuwa kama za nyoka, Na katika midomo yao mna sumu ya fira.


Wana sumu mfano wa sumu ya nyoka; Wao ni kama fira kiziwi azibaye sikio lake.


Asiyeisikiliza sauti ya waganga, Ijapo wanafanya uganga kwa ustadi.


Mbona tunakaa kimya? Jikusanyeni, tukaingie ndani ya miji yenye maboma, tukanyamaze humo kwa maana BWANA, Mungu wetu, ametunyamazisha, naye ametupa maji yenye uchungu tunywe, kwa sababu tumemwasi BWANA.


Koo lao ni kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila. Sumu ya fira iko chini ya midomo yao.


Maana, mzabibu wao ni mzabibu wa Sodoma, Nao ni wa mashamba ya Gomora; Zabibu zao ni zabibu za uchungu, Vichala vyao ni vichungu.


Je! Haya hayakuwekwa akiba kwangu? Na kutiwa mhuri kati ya hazina yangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo