Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 32:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Maana hawa ni taifa wasio shauri, Wala fahamu hamna ndani yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 “Israeli ni taifa lisilo na akili, watu wake hawana busara ndani yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 “Israeli ni taifa lisilo na akili, watu wake hawana busara ndani yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 “Israeli ni taifa lisilo na akili, watu wake hawana busara ndani yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Wao ni taifa lisilo na akili, hakuna busara ndani yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Wao ni taifa lisilo na akili, hakuna busara ndani yao.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 32:28
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akamwambia mwanadamu, Tazama, kumcha Bwana ndiyo hekima, Na kujitenga na uovu ndio ufahamu.


Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.


Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.


Matawi yake yatakapokauka yatavunjwa; wanawake watakuja na kuyachoma moto; kwa maana hawa si watu wenye akili; kwa sababu hiyo yeye aliyewaumba hatawahurumia, yeye aliyewafanya hatawasamehe.


kwa sababu hiyo mimi nitafanya tena kazi ya ajabu kati ya watu hawa, kazi ya ajabu na mwujiza; na akili za watu wao wenye akili zitapotea, na ufahamu wa wenye busara wao utafichwa.


Kwa maana watu wangu ni wapumbavu, hawanijui; ni watoto waliopungukiwa na akili, wala hawana ufahamu; ni wenye akili katika kutenda mabaya, bali katika kutenda mema hawana maarifa.


Wenye hekima wametahayari, wamefadhaika na kushikwa; tazama, wamelikataa neno la BWANA, wana akili gani ndani yao?


Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.


Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.


Maana hekima ya dunia hii ni upuzi mbele za Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasaye wenye hekima katika hila yao.


Je! Mnamlipa BWANA hivi, Enyi watu wapumbavu na ujinga? Je! Yeye siye baba yako aliyekununua? Amekufanya, na kukuweka imara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo