Kumbukumbu la Torati 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Wakamtia wivu kwa miungu migeni, Wakamkasirisha kwa machukizo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Walimfanya aone wivu mkali kwa miungu yao, walimchochea akasirike kwa matendo yao ya kuchukiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Walimfanya aone wivu mkali kwa miungu yao, walimchochea akasirike kwa matendo yao ya kuchukiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Walimfanya aone wivu mkali kwa miungu yao, walimchochea akasirike kwa matendo yao ya kuchukiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Wakamfanya Mungu kuwa na wivu kwa miungu yao migeni, na kumkasirisha kwa sanamu zao za machukizo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Wakamfanya Mungu kuwa na wivu kwa miungu yao migeni, na kumkasirisha kwa sanamu zao za machukizo. Tazama sura |
Naye akanyosha mfano wa mkono, akanishika kwa kishungi kimoja cha nywele za kichwa changu; nayo roho ikaniinua kati ya dunia na mbingu, ikanileta katika maono ya Mungu mpaka Yerusalemu, mpaka mlango wa kuingilia ua wa ndani uelekeao upande wa kaskazini; mahali palipokuwa pamewekwa sanamu ya wivu, itiayo wivu.