Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 31:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Musa akasema maneno ya wimbo huu masikioni mwa kusanyiko la wana wa Israeli hata yakaisha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Halafu, Mose akakariri maneno ya wimbo huu mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Halafu, Mose akakariri maneno ya wimbo huu mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Halafu, Mose akakariri maneno ya wimbo huu mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Musa akayasoma maneno ya wimbo huu kutoka mwanzo hadi mwisho katika masikio ya kusanyiko lote la Israeli:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Musa akayasoma maneno ya wimbo huu kutoka mwanzo hadi mwisho katika masikio ya kusanyiko lote la Israeli:

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 31:30
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akamwambia BWANA maneno ya wimbo huu, siku ile BWANA alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na mkononi mwa Sauli;


Kwa sababu mimi sikunena kwa nafsi yangu tu; bali Baba aliyenituma, yeye mwenyewe ameniagiza nitakayonena na nitakayosema.


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.


Musa akaenda akawaambia Waisraeli maneno haya yote.


Kwa sababu najua baada ya kufa kwangu mtajiharibu kabisa, na kukengeuka katika njia niliyowaamuru; nayo mabaya yatawapata siku za mwisho, kwa vile mtakavyofanya maovu machoni pa BWANA kumtia kasirani kwa kazi ya mikono yenu.


Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitanena; Na nchi isikie maneno ya kinywa changu.


Musa akaja akasema maneno haya yote ya wimbo huu masikioni mwa watu, yeye na Yoshua, mwana wa Nuni.


Angalieni nimewafundisha amri na hukumu, vile vile kama BWANA, Mungu wangu, alivyoniamuru, ili mzitende katika nchi mwingiayo ili kuimiliki.


aliyekuwa mwaminifu kwake yeye aliyemweka, kama Musa naye alivyokuwa, katika nyumba yote ya Mungu.


Na Musa kweli alikuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu kama mtumishi, awe ushuhuda wa mambo yatakayonenwa baadaye;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo